Chama cha jubilee hii leo kimeelekeza kampeni katika kaunti ya Kericho kumpigia debe mgombea wa kiti cha useneta Aaron Cheruiyot. Naibu rais William Ruto aliongoza wanasiasa wa eneo la south rift katika shughuli hiyo. Ziara yake inajiri siku moja baada ya KANU kufanya mkutano wao hapo jana.
Watch KTN Live [ Ссылка ]
Watch KTN News [ Ссылка ]
Follow us on [ Ссылка ]
Like us on [ Ссылка ]
Ещё видео!