Kiongozi wa chama cha Ford Kenya, seneta Moses Wetangula amesema kwamba hatatishwa kuacha chama chake. Kulingana na Wetangula, mizozo inayokabili chama hicho imechochewa na watu kutoka nje, akisema chama hicho hakitakubali vitisho. Kiongozi wa chama hicho hata hivyo aliahidi kuacha wadhifa huo ikiwa atashindwa kwa njia inayofaa.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: [ Ссылка ]
Follow us on Twitter: [ Ссылка ]
Find us on Facebook: [ Ссылка ]
Check our website: [ Ссылка ]
#KBCchannel1 #KBCNewsHour #KBClive
Ещё видео!