Abdillah ni Mtoto mwenye ulemavu wa macho, lakini amebarikiwa sauti nzuri kutoka kwa Allah Mtukufu. Hivyo Abdillah ameamua kutumia kipaji chake katika Tasnia ya Nasheed na kufikisha ujumbe mbali mbali kwa jamii.
Hii ni Nasheed inayopinga udhalilishaji kutoka kwake aliyoimba siku ya Tamasha lake lilofanyika tarehe 26/09/2021 Amani Judo Zanzibar.
Video/Camera by: Mo Visual 📞 +25577408104
#abdillah #udhalilishaji #abdillahnasheeds #nasheed #soudkhafa #taufiqnasheed #zanzibar
Ещё видео!