Hoja Mezani Ni Kipindi kinachoruka Asubuhi ndani ya Morning Trumpet ya UTV Azam TV.
Wakili Boaz Albany Msoffe akiongelea adhabu ya kifo kwenye Sheria za Tanzania kufuatia kauli ya Mhe. Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Joseph Pombe Magufuli ya Tarehe 9 Disemba 2020.
Wasiliana na Wakili Boaz kupitia;
Instagram ▶️ [ Ссылка ]
Twitter ▶️ @advocate_boaz
Email: msoffeboaz@gmail.com
Ещё видео!