Pius Msekwa Ashangazwa na Uongozi Wa Rais Magufuli
MWANASIASA mkongwe nchini, Pius Msekwa amesema ni vigumu kuzuia na kuondoa rushwa nyakati za uchaguzi kwa sababu za ugumu wa kimazingira ya ushahidi kwani mara nyingi vitendo hivyo hufanywa na watu waliokubaliana.
Msekwa ambaye ameshika nafasi mbalimbali za uongozi nchini ikiwemo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameyasema hayo leo nyumbani kwake, Oysterbay Jijini Dar katika mahojiano maalum na Global TV Habari na kuongeza kuwa inahitajika juhudi za kipekee ili kuondoa tatizo la rushwa katika uchaguzi.
Subscribe muda huu www.youtube.com/user/uwazi1 Install #GlobalPublishersApp Android: [ Ссылка ] iOS: [ Ссылка ] Subscribe [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]...
TWITTER: [ Ссылка ] Visit [ Ссылка ], Subscribe [ Ссылка ] Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… [ Ссылка ] [ Ссылка ] [ Ссылка ] WEBSITE: [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] INSTAGRAM: [ Ссылка ]..
Ещё видео!