FAHAMU: Umuhimu wa Mapapai Mwilini Mwako
Tunda la papai ni tunda lenye vitamini A, B. C, D na E, jambo linaloliweka tunda hili katika kundi la matunda na vyakula vyenye utajiri mkubwa wa vitamini.
tunda la papai na mbegu zake zina aina pekee ya kimeng'enyo (enzymes) kiitwacho papain, ambacho ni muhimu katika kusaidia usagaji wa protini mwilini pia hutumika kama dawa mwilini ya kutibu majeraha kwenye utumbo na matatizo mengine.
USIKOSE KUTAZAMA KIPINDI CHA 'YOU ARE WHAT YOU EAT' KILA JUMANNE.
Install #GlobalPublishersApp Android: [ Ссылка ] iOS: [ Ссылка ] Subscribe [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] Visit [ Ссылка ], Subscribe [ Ссылка ] kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… [ Ссылка ] [ Ссылка ] [ Ссылка ] WEBSITE: [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] INSTAGRAM: [ Ссылка ]..
Ещё видео!