Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga leo hii hii ametua na msafara wa azimio la umoja katika kaunti ya Taita Taveta ambapo amefaulu kuwavutia upande wake wanasiasa kutoka vyama pinzani na wakati uo huo kuwaonya wapiga kura dhidi ya kumchagua naibu rais William Ruto. Gavana wa kaunti ya Taita Taveta Granton Samboja aliechaguliwa kupitia chama cha wiper na mbunge wa Taveta Naomi Shaaban wa Jubilee wote wakionyesha imani ya Odinga kuwa rais wa tano.
#LiveStream #LiveNews #KTNNews #KTNPrime
Kenya's number one 24/7 news channel. KTN News TV keeps you updated on the latest news in Kenya and around the World.
KTN News Live stream - Nairobi, Kenya
Watch Breaking and the latest news happening in Kenya, Africa and across the globe in real-time. Livestream KTN News
SUBSCRIBE to our YouTube channel for more great videos: [ Ссылка ]
Follow us on Twitter: [ Ссылка ]
Like us on Facebook: [ Ссылка ]
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
Watch KTN Live [ Ссылка ]
Watch KTN News [ Ссылка ]
Follow us on [ Ссылка ]
Like us on [ Ссылка ]
Ещё видео!