SAKATA LA YUSUPH KAGOMA
Yanga wanataka aombe radhi …”akiri kwamba alikosea na sisi ni waungwana, tutamuacha aendelee na safari”.
Simba wanasema Kagoma ni mali yao halali na ataendelea kuitumikia…“….itawalazimu wasubiri miaka kumi kuja kumpata Kagoma, kama walivyofanya kwa Chama”.
Je, wewe unasemaje?
Wasikie wasemaji wa timu zote mbili, Ally Kamwe wa Yanga na Ahmed Ally wa Simba, kila upande ukitamba….
#Usajili #Kagoma #YusuphKagoma #AllyKamwe #AhmedAlly
Ещё видео!